MBUNGE WA CHADEMA ZANZIBAR AJIONDOA CHADEMA NA KUHAMIA CHAMA CHA MAPINDUZI ( CCM)
Na Maryam Nassor
MUHESHIMIWA Mbunge Asya Mohamed Muhidini kutoka chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amekihama chama hicho na kuhamia chama cha
Mapinduzi ( CCM).
Akizungumza
na Mwandishi wa Habari hizi, jana June , 27 . 2025, huko Jijini Dodoma amesema tayari ameshakihama chama hicho na kuhamia CCM.
Mbunge Asya amesema, amehamia Chama Cha
Mapinduzi na ametia nia ya kushiriki Uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
" Tayari nimehama chama cha Mapinduzi CCM na naahidi kushiriki katika Uchaguzi mkuu wa mwaka huu wa Oktoba 2025" amesema Mbunge Asya.
Post a Comment